Tangazo la Nafasi za Kazi – Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) 10-06-2025

Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST), kupitia kibali cha ajira kutoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi cha tarehe 02/05/2025, kinakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi mbalimbali za kazi kwa mwaka wa fedha 2024/2025. Ajira hizi ni kwa kada mbalimbali za kitaaluma na kitaalamu katika mazingira ya

Continue Reading