Job Detail

MWALIMU DARAJA LA III C - SOMO LA (GRAPHICS DESIGNING)

Ajira Portal

  • Day Shift
  • Full-Time

Description

POSTMWALIMU DARAJA LA III C - SOMO LA (GRAPHICS DESIGNING) - 17 POST
EMPLOYERMDAs & LGAs
APPLICATION TIMELINE: 2025-02-10 2025-02-20
JOB SUMMARYN/A

APPLY HERE DIRECT


Responsibilities

i. Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa;
ii. Kutengeneza na Kufaragua zana za kufundishia na kujifunzia;
iii. Kufundisha, kufanya Tathimini na kutunza kumbukumbu za Maendeleo ya wanafunzi;
iv. Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi Shuleni na Darasani;
v. Kusimamia malezi ya wanafunzi Kiakili, Kimwili, Kiroho na kutoa ushauri nasaha na unasihi;
vi. Kutoa ushauri wa kitaalamu na kitaaluma kuhusu maendeleo ya Elimu;
vii. Kusimamia na utunzaji wa vifaa na mali za shule; na
viii. Kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Shule kulingana na majukumu ya Shule


Requirements

Kuajiriwa mwenye Shahada ya Elimu (Bachelor with Education) au Shahada ya Ualimu (Bachelor of Education) yenye somo la kufundishia la “Graphics Designing” kutoka Vyuo vya Ualimu vinavyotambulika na Serikali.


AU Shahada isiyo ya Ualimu/Elimu yenye somo la kufundishia la (Graphic Design) pamoja na Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) kutoka Vyuo vya Elimu ya Juu vinavyotambulika na Serikali.


AU Wenye Shahada isiyo ya Ualimu katika fani ya “Graphics Designing”. Waombaji ambao hawana somo la UALIMU ni lazima wawe tayari kupata mafunzo ya UALIMU baada ya kuajiriwa.


Job Summary

  • Published on: 15 Feb 2025
  • Vacancy: 17
  • Employment Status: Full-Time
  • Experience: Junior
  • Gender: Both
  • Age: NA
  • Job Location: Dar es salaam (Temeke)
  • Salary: Negotiation
  • Salary Period: Monthly
  • Application Deadline: 20 Feb 2025

We may use cookies or any other tracking technologies when you visit our website, including any other media form, mobile website, or mobile application related or connected to help customize the Site and improve your experience. learn more